WFP sasa kujielekeza katika mahitaji mengine baada ya chakula kufika visiwani Bahama 10 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP linasaidia harakati za kutoa msaada wa dharura Bahamas nchi ambayo inakabiliwa na athari kubwa zilizosababishwa na kimbunga Dorian, ikiwa ni kimbunga kibaya zaidi kuwahi kukumba visiwa hivyo. Audio Credit Brenda Mbaitsa Audio Duration 1'53" Photo Credit U.S. Coast Guard District 7 Bahama Dorian Abaco