Serikali ya Rwanda, UNHCR na Muungano wa Afrika wakubaliana kuhamisha wakimbizi kutoka Libya 10 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Serikali ya Rwanda, Shirika la Kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa, UNHCR na Muungano wa Afrika, AU leo hii wametia saini makubaliano ya kuanza mchakato wa kuhamisha wakimbizi kutoka Libya. Audio Credit Jason Nyakundi Audio Duration 1'48" Photo Credit © UNHCR/Mohamed Alalem UNHCR wahamiaji Rwanda