PAHO na WHO watoa ombi la msaada wa dola milioni 3.5 kwa huduma za kibidamu Bahamas
Pakua
Muungano wa shirika la afya la nchi za Amerika (PAHO) na lile na Afya duniani (WHO) umetoa ombi la dola milioni 3.5 kwa wafadhili ili kugharamia kipindi kifupi cha huduma za afya na mahitaji mengine kwa watu walioathiriwa na kimbunga Dorian huko Bahamas.
Audio Credit
Arnold Kayanda
Audio Duration
1'49"