Mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau waendelea na harakati za kutoa msaada Bahamas 6 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Wakati Umoja wa Mataifa na watoa misaada wengine wakiendelea na shughuli za kutoka msaada katika visiwa vya Bahamas ripoti za hivi punde zinaashiria kwamba idadi ya vifo huenda ikaongezeka kwa mujibu wa Shirika la afya ulimwenguni, WHO. Audio Credit Grace Kaneiya Audio Duration 1'45" Photo Credit Leah Powell