FAO yaleta nuru kwa mkulima mwenye umri wa miaka 63 Tanzania baada ya mafunzo 6 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Nchini Tanzania mkulima mmoja mwenye umri wa miaka 63 kwa mara ya kwanza amenufaika na shughuli za kilimo baada ya kupatiwa mafunzo yaliyoratibiwa na shirika la chakula na kilimo FAO nchini humo. Audio Credit Assumpta Massoi Audio Duration 1'40" Photo Credit IAEA