Wavenezuela waendelea kumiminika nchi jirani licha ya madhila wanayokumbana nayo njiani
Pakua
Wakati hali ya kisiasa na kiuchumi nchini Venezuela inazidi kuzorota raia zaidi wa Venezuela wanakimbilia mataifa mengine ya Amerika ya Kusini ambapo takriban raia milioni 4 wa Venezuala wameihama nchi yao. Kando na kuwepo hali mbaya ya usalama na ghasia pia kumeshuhudiwa ukosefu wa madawa, chakula na miundo msingi.
Audio Credit
Arnold Kayanda/ Jason Nyakundi
Audio Duration
2'59"