Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ufundi cherehani na upanzi wa mboga ni mkombozi kiuchumi kwa wanawake DR

Ufundi cherehani na upanzi wa mboga ni mkombozi kiuchumi kwa wanawake DR

Pakua

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, mafunzo ya ufundi cherehani yaliyotolewa na walinda amani wanawake kutoka Tanzania kwa wanawake wakazi wa mji wa Beni jimboni Kivu Kaskazini yameanza kuleta matumaini na kudhihirisha jukumu la ulinzi wa amani na uwezeshaji wa jamii nchini humo.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
2'15"
Photo Credit
©MONUSCO/FIB/Mohammed Mkumba