Mashirika ya Umoja wa Mataifa na AU wameibua mpango wa kuimarisha kilimo kwa vijana
Pakua
Mkutano wa 7 wa Tokyo kwa ajili ya maendeleo ya Afrika, TICADVII ukiendelea huko Yokohama nchini Japan, mashirika ya Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika, AU pamoja na wadau wamezindua mpago wa kuchagiza ajira ya vijana kwenye sekta ya kilimo cha biashara barani humo.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Priscilla Lecomte
Audio Duration
1'49"