Hatutaki kupoteza maisha zaidi Sudan Kusini-UNMAS
Pakua
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusiska na uelimishaji na uteguaji wa mabomu ya ardhini na vifaa vingine vya mlipuko UNMAS imeteketeza rundo la mabomu ya kutegwa ardhini yaliyogundulika kilomita 40 nje ya mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba.
Audio Credit
Arnold Kayanda/ Assumpta Massoi
Audio Duration
1'53"