Muongoza ulipewa jina Tuma Fedha na Wekeza Kenya kusaidi utumaji fedha 27 Agosti 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM na wadau wake wanatekeleza mwongozo wenye lengo la kuwawezesa raia wa Kenya wanaoishi ughaibuni kutuma fedha nyumbani kwa njia iliyo salama zaidi na yenye tija. Audio Credit Arnold Kayanda/Assumpta Massoi Audio Duration 1'53" Photo Credit UN ughaibuni APA wahamiaji IOM Kenya