Kutokomeza malaria kunawezekana kinachohitajika ni mbinu mpya-WHO 23 Agosti 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Utafiti zaidi na maendeleo katika vifaa vya kuzuia malaria na tiba ni muhimu ili kutokomeza malaria katika siku zijazo limesema shirika la afya ulimwenguni, WHO leo Ijumaa kupitia ripoti yake iliyozinduliwa Geneva Uswisi. Audio Credit Grace Kaneiya/ Jason Nyakundi Audio Duration 2'9" Photo Credit PAHO/WHO Photo Malaria chanjo WHO