Kutoka kuwa mtangazaji hadi mhudumu wa kibinadamu
Pakua
Nchini Uganda mtangazaji wa kipindi cha masuala ya kijamii mjini Hoima ameleta nuru kwa watoto wengi waliohatarini baada ya kuanzisha kituo cha kulea watoto wakiwemo yatima na wanaozaliwa na watu wenye matatizo ya akili. Je, mwanahabari huyo amegeukaje kuwa mhudumu wa kibinadamu?
Audio Credit
Grace Kaneiya/ John Kibego
Audio Duration
2'43"