Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tunalenga kuleta mabadiliko pia DRC- Dkt. Mvumbi

Tunalenga kuleta mabadiliko pia DRC- Dkt. Mvumbi

Pakua

Katika kuadhimisha siku hii ya kimataifa ya huduma za kibinadamu , moja ya nchi ambayo inahitaji kwa hali na mali huduma hizo ni Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC, ambayo imeghubikwa na mjangamakubwa matano , kipindupindu, njaa, kutokuwa na uhakika wa chakula, vita nae bola.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Arnold Kayanda
Audio Duration
2'19"
Photo Credit
UNICEF/Vincent Tremeau