Tunalenga kuleta mabadiliko pia DRC- Dkt. Mvumbi
Pakua
Katika kuadhimisha siku hii ya kimataifa ya huduma za kibinadamu , moja ya nchi ambayo inahitaji kwa hali na mali huduma hizo ni Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC, ambayo imeghubikwa na mjangamakubwa matano , kipindupindu, njaa, kutokuwa na uhakika wa chakula, vita nae bola.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Arnold Kayanda
Audio Duration
2'19"