Elimu kwa watoto warohingya bado ni ndoto-UNICEF
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limesema miaka miwili ya harakati za kila uchao za kujikwamua kimaisha kwa warohingya waliosaka hifadhi nchini Bangladesh zimetumbukiza nyongo mustakabali wa elimu kwa kizazi kizima
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
2'21"