Uhakika wa chakula uko hatarini kutokana na atahri za mabadiliko ya tabianchi-IPCC

Uhakika wa chakula uko hatarini kutokana na atahri za mabadiliko ya tabianchi-IPCC

Pakua

Ardhi ni rasilimali muhimu ambayo iko katika shinikizo kubwa kutoka kwa binadamu na mabadiliko ya tabia nchi , lakini pia inaweza kuwa sehemu ya suluhu ya changamoto hizo imesema ripoti ya jopo la kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi IPCC.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Arnold Kayanda
Audio Duration
3'
Photo Credit
©FAO/Giulio Napolitano