Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa kupunguza utapiamlo Kenya wachagiza kina mama kunyonyesha watoto

Mradi wa kupunguza utapiamlo Kenya wachagiza kina mama kunyonyesha watoto

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto,  UNICEF limesema mpango wa kupunguza utapiamlo na kuimarisha afya ya mama na mtoto nchini Kenya, umesaidia kuongeza kiwango cha unyonyeshaji watoto maziwa ya mama pekee. 

Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Sauti
9'51"
Photo Credit
UNICEF/UN0155835/Zammit