Afrika yahitaji mbinu za mnepo kukabili mabadiliko ya tabianchi
Pakua
Mbinu za kujengea jamii mnepo katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi lazima ziimarishwe, wamesema washiriki wa mjadala wa ngazi ya juu kuhusuuhakika wa upatikanaji wa chakula Afrika ulioandaliwa na serikali ya Rwanda mjini Kigali kwa ushirikiano na shirika la chakula na kilimo duniani, FAO, kamisheni ya Muungano wa Afrika, Benki ya maendeleo Afrika, mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD na Benki ya Dunia. Taarifa zaidi na Arnold Kayanda.
Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Audio Duration
2'28"