UNDP yaongoza kwa mfano na mkakati wa umeme jua nchini Tanzania 1 Agosti 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa, UNDP nchini Tanzania leo limezindua mfumo wa umeme jua uliofungwa katika ofisi zake, maeneo ya Oyster bay, jijini Dar es Salaam, ukizalisha megawati 187 kwa mwaka. Audio Credit Grace Kaneiya/Hamisi Mwinyimvua/ Leyla N’Doman Audio Duration 1'45" Photo Credit ILO/Marcel Crozet Tanzania UNDP Sola nishati jadidifu