Miaka kumi tangu kuzuka machafuko Nigeria hali ya kibinadamu bado tete-OCHA
Pakua
Ikiwa ni miaka 10 tangu kuzuka kwa machafuko Kaskazini Mashariki mwa Nigeria Umoja wa Mataifa na wadau wengine wa wa misaada wanasema mahitaji ya kibinadamu yanaendelea kuongezeka na kuyatimiza ni changamoto kubwa.
Audio Credit
Grace Kaneiya/Flora Nducha
Audio Duration
2'23"