Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Miaka kumi tangu kuzuka machafuko Nigeria hali ya kibinadamu bado tete-OCHA

Miaka kumi tangu kuzuka machafuko Nigeria hali ya kibinadamu bado tete-OCHA

Pakua

Ikiwa ni miaka 10 tangu kuzuka kwa machafuko Kaskazini Mashariki mwa Nigeria Umoja wa Mataifa na wadau wengine wa wa misaada wanasema mahitaji ya kibinadamu yanaendelea kuongezeka na kuyatimiza ni changamoto kubwa.

Audio Credit
Grace Kaneiya/Flora Nducha
Audio Duration
2'23"
Photo Credit
OCHA/Ivo Brandau