Watoto wachanga wengi wanayonyeshwa katika nchi zinazoendelea ukilinganisha na nchi zilizoendelea-UNICEF
Pakua
Sera zilizo Rafiki kwa masuala ya familia ni muhimu katika kuhakikisha idadi ya Watoto wachanga wanaonyonyeshwa katika miei sita ya mwanzo ya maisha yao inaongezeka kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Arnold Kayanda
Audio Duration
2'35"