Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Najivunia kuiacha FAO katika msingi wa jukumu lake baada ya miaka nane ya kuhudumu-Graziano da Silva

Najivunia kuiacha FAO katika msingi wa jukumu lake baada ya miaka nane ya kuhudumu-Graziano da Silva

Pakua

Kuzalisha chakula cha kutosha sio tatizo, tatizo ni fursa ya watu kupata chakula kilichopo ili kupambana na njaa na utapiamlo.  

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Flora Nducha
Audio Duration
2'17"
Photo Credit
©FAO/Olivier Asselin