Najivunia kuiacha FAO katika msingi wa jukumu lake baada ya miaka nane ya kuhudumu-Graziano da Silva
Pakua
Kuzalisha chakula cha kutosha sio tatizo, tatizo ni fursa ya watu kupata chakula kilichopo ili kupambana na njaa na utapiamlo.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Flora Nducha
Audio Duration
2'17"