Magugu maji yaleta nuru kwa wakazi wa Ougadougou Burkina fasso
Pakua
Ili kutatua changamoto kubwa zinazoikabili dunia hivi sasa kuanzia umaskini, mabadiliko ya tabianchi na hata majanga ya asili tunahitaji utashi, hatua zaidi na hatua zenyewe zichukuliwe sasa. Kauli hiyo imetolewa na bingwa kijana wa mwaka 2017 wa kupigania maslahi ya dunia Mariama Mamane kutoka Burkina Faso. Tupate maelezo zaidi na Jason Nyakundi
Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
1'49"