Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Licha ya kupungua kwa mashambulio dhidi ya watu wenye ualbino, wanaishi kwa mashaka na hofu

Licha ya kupungua kwa mashambulio dhidi ya watu wenye ualbino, wanaishi kwa mashaka na hofu

Pakua

Ingawa vitendo vya watu wenye nia ya uovu wa kuwashambulia watu wenye ualbino kuonekana kupungua, bado watu wenye ualbino wanaishi kwa mashaka na hofu kutokana na madhila wanayopitia katika maisha yao ya kila siku.

Kwa mtoto Mwigulu Matonange Magesa mwenye umri wa miaka 16 kutoka Tanzania kwa sasa, vitendo hivyo vimemsababishia kupoteza mkono wake mmoja katika kisa hiki anachosimulia alipohojiwa na Priscilla Lecomte kandoni mwa mkutano wa kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya watu wenye Ulemavu uliofanyika mjini New York Marekani. Ambatana nao katika makala ifuatayo.

Audio Credit
Arnold Kayanda/ Prisiclla Lecomte/ Mwigulu Matonange Magesa
Sauti
5'30"
Photo Credit
UN News/Video capture