Kampeni kuhusu nishati endelevu yashika kasi, Uganda
Pakua
Nishati endelevu ni suala ambalo linatathminiwa katika juhudi za kupambana na uchafuzi wa mazingira na athari zake duniani kote. Hili pia linapigiwa chepuo katika lengo namba saba la malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa SDGs au agenda ya 2030.
Nchini Uganda serikali na wadau wake wanaendesha kampeni kubwa katika,maeneo mbalimbali ya taifa hilo la afrika Mashariki ili kuhakikisha kwamba mtazamo wa jamii kuhusu matumizi ya teknolojia ya nishati endelevu unabadilika lengo likiwa kuhakikisha kwamba wanakumbatia matumizi yake ikiwemo paneli za sola na majiko yasiotumia mkaa mwingi kupika.Ili kupata undani wa kampeni hiyo ungana na mwandishi wetu John Kibego katiak makala ifuatayo.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ John Kibego
Sauti
3'48"