Njaa na utapiamlo bado ni changamoto duniani:FAO
Pakua
Ukaguzi wa kina kuhusu wajibu ya FAO katika kupaambana na njaa na utapiamlo tangu mwaka 2012 na utafiti kuhusu changamoto kwa ajenda hii ya mwongo mmoja uanaokuja utafanyika katika kituo cha FAO cha Sheikh Zayed tarehe Ijumaa yatehe 26 mwezi huu wa Julai.
Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
1'16"