Skip to main content

Biashara ya hewa ukaa ni nuru kwa mazingira na wakazi wa Pwani ya Kenya:UNEP

Biashara ya hewa ukaa ni nuru kwa mazingira na wakazi wa Pwani ya Kenya:UNEP

Pakua

Shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa, UN Environment, halmashauri ya misitu Kenya na taasisi ya utafiti ya viumbe baharí na samaki Kenya na wadau hivi karibuni wamezindua mradi katika pwani ya Kenya kwa ajili ya kukuza biashara ya hewa ya mkaa kufuatia uhifadhi na upanzi wa mikoko.

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'30"
Photo Credit
FAO/R. Grisolia