Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Muafaka wa EU kuhusu wakimbizi na wahamiaji watia matumaini:IOM/UNHCR

Muafaka wa EU kuhusu wakimbizi na wahamiaji watia matumaini:IOM/UNHCR

Pakua

Viongozi wa mashirika mawili  ya Umoja wa Mataifa wamekaribisha uamuzi uliofikiwa barani Ulaya wenye lengo la kushughulikia hali wahamiaji na wakimbizi kwenye bahari ya Mediteranea na kuzuia vifo nchini Libya.

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
1'41"
Photo Credit
UN OCHA/GILES CLARKE