Vijana vijijini wahitaji msaada wa watunga sera:IFAD 23 Julai 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD umesema sera bora na uwekevaji vinahitajika haraka ili nchi maskini ziweze kupatia mustakabali bora mamilioni ya vijana wao maskini wanaoishi vijijini. Audio Credit UN News/Assumpta Massoi Audio Duration 1'53" Photo Credit IRIN/Mohamed Amin Jibril IFAD vijana kilimo Gilbert F. Houngbo afrika