Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Yukiya Amano hatunaye tena-IAEA

Yukiya Amano hatunaye tena-IAEA

Pakua

Shirika la kimataifa la nguvu za atomic IAEA, leo j22 julai 2019 limetangaza kwa masikitoko makubwa kifo cha aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Yukiya Amano.

Audio Credit
Arnold Kayanda/Grace Kaneiya
Audio Duration
2'37"
Photo Credit
IAEA/Dean Calma