Yukiya Amano hatunaye tena-IAEA 22 Julai 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la kimataifa la nguvu za atomic IAEA, leo j22 julai 2019 limetangaza kwa masikitoko makubwa kifo cha aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Yukiya Amano. Audio Credit Arnold Kayanda/Grace Kaneiya Audio Duration 2'37" Photo Credit IAEA/Dean Calma Yukiya Amano IAEA japan nguvu za atomiki Kifo