22 Julai 2019
Pakua
Katika Jarida letu la Habari hii leo Arnold Kayanda anakuletea
-Mkurugenzi mkuu wa shirika la nguvu za atomiki duniani IAEA Yukiya Amano aaga dunia , rambirambi zaendelea kumiminika kutoka kila kona
-Waathirika wa vimbunga Msumbiji wasimulia madhila na kuomba jumuiya ya kimataifa kuwanusuru
-Mshairi kutoka Sudan kusini Bigoa Chuol anahoji kwa wakimbizi nyumbani ni wapi?
-Makala yetu leo inaangazia uchafuzi wa mazingira ya mto Kafu Uganda na athari zake
-Na mashinani tuko Tanzania utasikia wito wa kijana Hussein Melele mratibu na mkurugenzi wa shirika la Mulika Tanzania linalohusika na kutoa mafunzo kwa jamii kupitia sanaa ikiwemo afya , elimu ya uraia na haki za binadamu.
Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Audio Duration
14'28"