Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tuko pamoja na msimamo wa AU Sudan:Haysom

Tuko pamoja na msimamo wa AU Sudan:Haysom

Pakua

Habari zilizotolewa leo na duru mbalimbali zinasema pande kinzani nchini Sudan zimetiasaini makubaliano ya kisiasa, na majadiliano zaidi yataendelea Ijumaa Julai 19 wiki hii katika masuala nyeti ambayo ni “kukubaliana kuhusu azimio la katiba ya mpito ambayo itaamua mfumo wa kushirikiana madaraka kati ya TMC na FFC, ikiwemo mfumo wa vyombo vya utawala na ni asilimia ngapi iende kwa kila upande katika baraza la Rais.”

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
3'21"
Photo Credit
UN Photo/Mark Garten)