Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yataka nchi kuzingatia uwiano kati ya idadi ya watu na maendeleo

UN yataka nchi kuzingatia uwiano kati ya idadi ya watu na maendeleo

Pakua

Wakati idadi ya watu duniani ikikadiriwa kuongezeka na kufikia bilioni 9 mwaka 2050 Umoja wa Mataifa imezitaka nchi kuzingatia uwiano kati ya ongezeko la idadi ya watu na maendeleo

Audio Credit
Flora Nducha/ Arnold Kayanda
Audio Duration
2'39"
Photo Credit
Warren Bright/UNFPA Tanzania