UN yataka nchi kuzingatia uwiano kati ya idadi ya watu na maendeleo
Pakua
Wakati idadi ya watu duniani ikikadiriwa kuongezeka na kufikia bilioni 9 mwaka 2050 Umoja wa Mataifa imezitaka nchi kuzingatia uwiano kati ya ongezeko la idadi ya watu na maendeleo
Audio Credit
Flora Nducha/ Arnold Kayanda
Audio Duration
2'39"