UN yaalani shambulio la Tripoli ambalo limesababisha watu 44 kupoteza maisha
Pakua
Umoja wa Mataifa na mashirika yake umelaani vikali shambulio la jana kwenye mji mkuu wa Libya Tripoli ambalo limesababisha vifo vya takribani watu 44 na wengine zaidi ya 130 wamejeruhiwa.
Audio Credit
Grace Kaneiya/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'18"