Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yaalani shambulio la Tripoli ambalo limesababisha watu 44 kupoteza maisha

UN yaalani shambulio la Tripoli ambalo limesababisha watu 44 kupoteza maisha

Pakua

Umoja wa Mataifa na mashirika yake umelaani vikali shambulio la jana  kwenye mji mkuu wa Libya Tripoli ambalo limesababisha vifo vya takribani watu 44 na wengine zaidi ya 130 wamejeruhiwa.

Audio Credit
Grace Kaneiya/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'18"
Photo Credit
UNICEF/Romenzi