Bethlehemu alipozaliwa Yesu parejeshewa ubora wake:UNESCO
Pakua
Kamati ya urithi wa dunia inayokutana mjini Baku, Azerbaijan tangu Juni 30 Mwaka huu, hii leo imeamua kuliondoa katika maeneo ya urithi wa dunia yaliyo katika hatari, Kanisa la mwanzo ambako inasadikiwa alizaliwa Yesu huko mji wa Palestina, wa Bethlehem ulio kusini mwa Yerusalem.
Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Audio Duration
1'30"