Wanawake viongozi Tanzania ni viongozi bora:Waziri Ummy
Pakua
Serikali ya Tanzania imepiga hatua kubwa katika harakati za ukombozi wa mwanamke katika nyanja mbalimbali iikiwemo kijamii, kiuchumi na hata kisiasa. Flora Nducha na tarifa zaidi
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
1'46"