Janga la njaa DRC ni zahma kubwa duniani:WFP
Pakua
Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP linaongeza kasi ya usaidizi wake kwenye eneo la kaskazini-mashariki kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Ituri kufuatia kuanza tena kwa mapigano ya kikabila yaliyosababisha makumi ya maelfu ya watu kukimbia makazi yao.
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'52"