Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Janga la njaa DRC ni zahma kubwa duniani:WFP

Janga la njaa DRC ni zahma kubwa duniani:WFP

Pakua

Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP linaongeza kasi ya usaidizi wake kwenye eneo la kaskazini-mashariki kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Ituri kufuatia kuanza tena kwa mapigano ya kikabila yaliyosababisha makumi ya maelfu ya watu kukimbia makazi yao.

Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'52"
Photo Credit
UN Photo/Abel Kavanagh