Washambuliaji wa raia Mali sasa kutokwepa sheria:MINUSMA
Pakua
Nchini Mali, kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya vijiiji na mauaji ya raia katikati mwa nchi hiyo, kitengo cha polisi wanasayansi kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka utulivu kwenye taifa hilo la Afrika Magharibi wanafanya uchunguzi wa kina ili kuhakikisha hakuna ukwepaji wa sheria kwa watekelezaji wa mashambulio hayo.
Audio Credit
UN News/assumpta Massoi
Audio Duration
1'49"