Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Miradi ya MONUSCO ni neema kwetu:Waathirika wa ukatili wa kingono

Miradi ya MONUSCO ni neema kwetu:Waathirika wa ukatili wa kingono

Pakua

Ukatili wa kingono na unyanyasaji wa kijinsia ni moja ya changamoto kubwa katika maeneo yenye vita na waathirika wakubwa ni wanawake na wasichana. Manusura hawa hujikuta hawana msaada wala pa kushika baada ya wengine kuachwa na ujauzito , watoto na hata maradhi. Mathalani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO kwa kushirikiana na mfuko maalum wa msaada kwa waathirika wa unyanyasaji wa kijinsia na kingono TF wanawasaidia wanawake waathirika na watoto wao waliozaliwa kupitia unyanyasaji huo uliofanywa na wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa. Ungana na Patrick Newman kwa makala hii.

Audio Credit
Assumpta Massoi/Patrick Newman
Audio Duration
3'47"
Photo Credit
MONUSCO/TANZBATT/Taji Msue