Suala la elimu latia hofu wazazi warohingya
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR linafanya kila liwezalo kuhakikisha watoto wakimbizi warohingya huko Bangladesh wanapata elimu wakati huu ambapo wazazi wao wana hofu kubwa juu ya mustakabali wa elimu ya watoto hao.
Audio Credit
Flora Nducha/ Amina Hassan
Audio Duration
1'54"