Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Suala la elimu latia hofu wazazi warohingya

Suala la elimu latia hofu wazazi warohingya

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR linafanya kila liwezalo kuhakikisha watoto wakimbizi warohingya huko Bangladesh wanapata elimu wakati huu ambapo wazazi wao wana hofu kubwa juu ya mustakabali wa elimu ya watoto hao.

Audio Credit
Flora Nducha/ Amina Hassan
Audio Duration
1'54"
Photo Credit
UNFPA Bangladesh/Allison Joyce