Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR yasaidia kuhamisha mahabusu 96 kutoka Somalia, Eritrea na Ethiopia

UNHCR yasaidia kuhamisha mahabusu 96 kutoka Somalia, Eritrea na Ethiopia

Pakua

Watu 96 wakimbizi na wahamiaji waliokuwa wakishikiliwa katika kituo cha Zintan mjini Tripoli Libya sasa wamehamishiwa kwenye eneo salama ambapo wanakusanywa na kusafirishwa kwa msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Flora Nducha
Audio Duration
1'51"
Photo Credit
UNICEF/Romenzi