Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Marufuku ya mifuko ya plastiki Tanzania ni kutekeleza kwa vitendo makubaliano ya UN:Makamba

Marufuku ya mifuko ya plastiki Tanzania ni kutekeleza kwa vitendo makubaliano ya UN:Makamba

Pakua

Serikali ya Tanzania inaanza rasmi kesho Juni Mosi utekelezaji wa hatua ya kuachana na mifuko ya plastiki kwa kubebea bidhaa kuanzia nyumbani, madukani na hata masokoni.

Audio Credit
Flora Nducha/ Januari Makamba
Audio Duration
3'31"
Photo Credit
UN Photo/Martine Perret