Marufuku ya mifuko ya plastiki Tanzania ni kutekeleza kwa vitendo makubaliano ya UN:Makamba
Pakua
Serikali ya Tanzania inaanza rasmi kesho Juni Mosi utekelezaji wa hatua ya kuachana na mifuko ya plastiki kwa kubebea bidhaa kuanzia nyumbani, madukani na hata masokoni.
Audio Credit
Flora Nducha/ Januari Makamba
Audio Duration
3'31"