Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

23 Mei 2019

23 Mei 2019

Pakua

Leo katika Jarida na Habari la Umoja wa Mataifa Grace Kaneiya anakuletea

-Umoja wa Mataifa watangaza mikakati mipya ya kukabiliana na Ebola Congo DRC, chini ya utaribnu maalum wa David Gressely

-Huko nchini Kenya kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma nchini familia moja yamrejesha ndoto ya masomo  mkimbizi kutoka Burundi

-Chama cha wanawake cha misaada ya kisheria Côte d’Ivoire chajitosa kuwasaidia wasio na utaifa.

-Makala yetu leo ni SDGs tunabisha hodi mjini Nakuru  nchini Kenya  ambako tunakutana na  mwanaharakati wa mazingira anayepiga vita matumizi  na utupaji kiholelea wa mifuko ya plastiki

-Mashinani  tunakwenda Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, ambako ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa  kuweka utulivu nchini humo, MINUSCA  umesambaza maji bila gharama yoyote kwa wakazi wa mji mkuu Bangui, na wananchi wamefunguka nyoyo zao

Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
13'34"