Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hakuna anayestahili kushambulia raia Afghanistan:UNAMA

Hakuna anayestahili kushambulia raia Afghanistan:UNAMA

Pakua

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa MAtaifa nchini Afghanistan, ameeleza kusikitishwa kwake na ongezeko la vurugu katika maeneo mbalimbalimbali ya nchi wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.

Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
1'53"
Photo Credit
UNMAS/Cengiz Yar