Kuna mambo manne ya kuzingatia katika vita vya mabadiliko ya tabianchi:Guterres
Pakua
Vijana nchini New Zealand wamepongezwa na Umoja wa Mataifa kwa kazi nzuri na mchango wao mkubwa katika vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi , huku wakiaswa kuongeza juhudi na kuwa wabunifu Zaidi kwa kusaka suluhu mbadala kwa ajili ya changamoto hii inayoighubika duniani.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Sauti
1'58"