Amani CAR iende sanjari na ulinzi na haki ya mtoto:Gamba
Pakua
Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya watoto kwenye mizozo, Virginia Gamba amehitimisha ziara yake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR akisema usaidizi madhubuti kwa wavulana na wasichana walioathirika na mzozo nchini humo ni jawabu mujarabu la kufanikisha mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi Februari mwaka huu.
Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
2'11"