Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Badala ya kutupwa taka za plastiki zageuka thamani Burkina Faso

Badala ya kutupwa taka za plastiki zageuka thamani Burkina Faso

Pakua

Nchini Burkina Faso, wakazi wa eneo la Kougougou lilioko kwenye viunga vya mji mkuu Ouagadougou , wamebuni mbinu mpya ya kubadili taka za plastiki kuwa bidhaa adhimu kama vile mavazi au pochi. 

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'59"
Photo Credit
UN Environment/Georgina Smith