Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vifo vya wahamiaji rumbande Yemen vyatutia hofu:IOM

Vifo vya wahamiaji rumbande Yemen vyatutia hofu:IOM

Pakua

Wahamiaji takriban wanane kutoka nchini Ethiopia wameripotiwa kufariki dunia nchini Yemen ambako walikuwa wanashikiliwa mahabusu kwenye vituo maalum, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.

Audio Credit
UN News/Patrick Newman
Audio Duration
1'20"
Photo Credit
Kristy Siegfried/IRIN