Raia wa Mali waanza kurejea nyumba kujenga upya maisha yao
Pakua
Nchini Mali, licha ya ukosefu wa amani ya kudumu kwenye mji wa kaskazini wa Gao, baadhi ya wananchi waliokimbia eneo hilo wameanza kurejea ili kusaidia ujenzi mpya na uponyaji kwa wale walioathiriwa na mzozo.
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'22"