Hatua zahitajika kuepusha zahma ya ukame Somalia:UN
Pakua
Umoja wa Mataifa umeonya kuwa hali ngumu itokanayo na ukame nchini Somalia inaweza kusababisha janga la kibinadamu iwapo hatua za dharura hazitachukuliwa kudhibiti hali hiyo.
Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
2'9"