Umoja wa Mataifa wahaha kufikisha misaada kwa waathirika wa kimbunga Kenneth
Pakua
Wahudumu wa misaada ya kibinadamu wamekuwa wakikimbizana kuwafikishia waathirika wa kimbunga Kenneth msaada wa dharura baada ya mvua kusita kwa muda leo asubuhi mjini Pemba nchini Msumbiji.
Audio Credit
Patrick Newman/ Assumpta Massoi
Audio Duration
2'4"