Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Umoja wa Mataifa wahaha kufikisha misaada kwa waathirika wa kimbunga Kenneth

Umoja wa Mataifa wahaha kufikisha misaada kwa waathirika wa kimbunga Kenneth

Pakua

Wahudumu wa misaada ya kibinadamu wamekuwa wakikimbizana kuwafikishia waathirika wa kimbunga Kenneth msaada wa dharura baada ya mvua kusita kwa muda leo asubuhi mjini Pemba nchini Msumbiji.

Audio Credit
Patrick Newman/ Assumpta Massoi
Audio Duration
2'4"
Photo Credit
UNICEF/DE WET